Jimbo la Zürich (kwa Kijerumani: Kanton Zürich) ni jimbo lililopo nchini Uswisi.

Jimbo la Zürich
Mahali pa jimbo la Zürich katika Uswisi

Jimbo lina wakazi takriban milioni 1.3 (kwa sensa ya mwaka wa 2007).[1]

Jimbo lipo upande wa kaskazini-mashariki mwa Uswisi na mji mkuu wake ni Zürich. Lugha rasmi ya jimbo ni Kijerumani, lakini watu waishio huko huzungumza lahaja ya kienyeji ya Kiswisi Kijerumani iitwayo Züritüütsch.

Tazama pia hariri

Marejeo hariri

  1. Federal Department of Statistics (2008). Ständige Wohnbevölkerung nach Staatsangehörigkeit, Geschlecht und Kantonen (Microsoft Excel). Iliwekwa mnamo 5 Novemba 2008.

Viungo vya Nje hariri


  Makala hii kuhusu maeneo ya Uswisi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jimbo la Zürich kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.