Jumba la Sinema
Jumba la Sinema (kutoka Kiing.: movie theatre, mara nyingine huandikwa theater) ni mahala pa kuonyesha filamu mbalimbali kwa kutumia skrini kubwa.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/30/Cinemaaustralia.jpg/180px-Cinemaaustralia.jpg)
Watu wanaoingia kuangalia filamu kawaida huwa wanakaa katika viti. Sinema zenye vioo vingi mara nyingi huita "multi-plex" au "mega-plex" (endapo itakuwa na zaidi ya viwambo 10).
Ona pia
haririViungo vya nje
haririMakala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |