Kaburi ni mahali pa kulaza maiti ya binadamu au mabaki yake.

Kaburi la I'timād-ud-Daulah, Agra, India.
Kaburi la Akbar.
Aina ya kaburi kwenye Père Lachaise Cemetery.
Hiramu ya Khufu, Misri.
Makaburi na majeneza ya marumaru huko Hierapolis.

Tendo lenyewe linaitwa mazishi au maziko na mara nyingi linaendana na aina ya ibada.

Linaweze kuwa na namna nyingi, kadiri ya utamaduni wa wahusika.

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu: