Kajala Masanja

Mwigizaji

Kajala Masanja (alizaliwa 1985) ni mwigizaji wa filamu katika nchi ya Tanzania.[1]

Alionekana na Steven Kanumba katika filamu ya mwaka 2012 Kijiji Cha Tambua Haki.

Aliolewa na mfanyakazi ya benki wa zamani Faraji Chambo.[2][3] Pia ni mama wa mtoto mmoja anayeitwa Paula. Kwa sasa ameolewa na Harmonize.

Marejeo hariri

  1. "Tanzania: Court Sets Free Bongo Movies Actress Kajala". allAfrica.com. Iliwekwa mnamo 2018-01-17. 
  2. "KAJALA AKWAMA PESA YA KUMTOA MUMEWE JELA | Magazeti ya leo| Tanzania News". Tanzania Today. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-01-18. Iliwekwa mnamo 2018-01-17. 
  3. https://globalpublishers.co.tz/kajala-aitifua-ndoa-ya-p-funk
  Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kajala Masanja kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

.