Kichug ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Uhindi inayozungumzwa na Wachug. Mwaka wa 2005 idadi ya wasemaji wa Kichug imehesabiwa kuwa watu 850. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kichug iko katika kundi la Kikho-Bwa.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kichug kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.