Kichwa (utarakilishi)

Katika utarakilishi, kichwa (kwa Kiingereza: header) ni data inayowekwa mwanzoni wa kipande cha data. Kwa mfano, katika utumaji wa barua pepe, "mletaji", "mpokeaji" au "jambo" ni vichwa vinavyoitwa kichwa cha barua pepe.

Pia kwenye HTTP kuna kichwa cha HTTP kilivyo anuani IP ya mletaji na anuani IP ya mpokeaji.

Marejeo hariri

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.