Kiembu ni lugha ya Kibantu nchini Kenya haswaa Kaunti ya Embu na huzungumzwa na Waembu.Ni moja kati ya Lugha za Kithaagicu za mlima Kenya na inafanana na lugha za Kikuyu,Kimeru.Mnamo 2024 ina wasemaji 603,000 asili.Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kiembu iko katika kundi la E50.

Kiembu
Kíembu (ebu)
Lugha
Asili Kenya
Kaunti ya Embu
Wasemaji

L1 : 603,000 (2024)

Familia za lugha Niger-Kongo
Kibantu
Thagiicu
Thagiicu ya Magharibi
Kikuyu-Kiembu
Aina za Awali Thagiicu
Mfumo wa kuandika Kilatini
Nambari za Msimbo
ISO 639-3 ebu
Glottolog embu1241
Kodi ya Guthrie E.52

Viungo vya nje

hariri
  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiembu kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.