Kiembu
Kiembu ni lugha ya Kibantu nchini Kenya haswaa Kaunti ya Embu na huzungumzwa na Waembu.Ni moja kati ya Lugha za Kithaagicu za mlima Kenya na inafanana na lugha za Kikuyu,Kimeru.Mnamo 2024 ina wasemaji 603,000 asili.Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kiembu iko katika kundi la E50.
Kiembu Kíembu (ebu) |
|
---|---|
Lugha | |
Asili | Kenya Kaunti ya Embu |
Wasemaji |
L1 : 603,000 (2024) |
Familia za lugha | Niger-Kongo Kibantu Thagiicu Thagiicu ya Magharibi Kikuyu-Kiembu |
Aina za Awali | Thagiicu |
Mfumo wa kuandika | Kilatini |
Nambari za Msimbo | |
ISO 639-3 | ebu |
Glottolog | embu1241 |
Kodi ya Guthrie | E.52 |
Viungo vya nje
hariri- lugha ya Kiembu kwenye Multitree
- makala za OLAC kuhusu Kiembu Ilihifadhiwa 8 Oktoba 2014 kwenye Wayback Machine.
- lugha ya Kiembu katika Glottolog
- http://www.ethnologue.com/language/ebu
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kiembu kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |