Kikoyra-Chiini ni lugha ya Kinilo-Sahara nchini Mali inayozungumzwa na Wasonghay. Mwaka wa 1999 idadi ya wasemaji wa Kikoyra-Chiini imehesabiwa kuwa watu 200,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kikoyra-Chiini iko katika kundi la Kisonghay.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kikoyra-Chiini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.