Kikwang ni lugha ya Kiafrika-Kiasia nchini Chad inayozungumzwa na Wakwang. Mwaka wa 1993 idadi ya wasemaji wa Kikwang imehesabiwa kuwa watu 16,800. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kikwang iko katika kundi la Kichadiki.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kikwang kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.