Kingoni ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania na Msumbiji inayozungumzwa na Wangoni. Kimetokana na lugha ya Kizulu Wangoni walipohama Afrika ya Kusini wakati wa Shaka Zulu. Mwaka wa 1887 idadi ya wasemaji wa Kingoni nchini Tanzania imehesabiwa kuwa watu 170,000. Pia kuna wasemaji 53,000 nchini Msumbiji. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kingoni iko katika kundi la N10.

Viungo vya nje hariri

Marejeo hariri

  • Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6

Kitabu hiki kinataja marejeo mengine kama:

  • Ebner, Fr. Elzear P. 1951. Grammatik des Neu-Kingoni. Mission Magagura, Tanganyika. Kurasa 87.
  • Moyo, Steven Phaniso Chinombo. 1978. A linguo-aesthetic study of Ngoni poetry. PhD thesis. University of Wisconsin at Madison. Kurasa 563.
  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kingoni kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.