Kiot-Danum ni lugha ya Kiaustronesia nchini Indonesia inayozungumzwa na Waot-Danum kwenye kisiwa cha Kalimantan. Mwaka wa 2007 idadi ya wasemaji wa Kiot-Danum imehesabiwa kuwa watu 78,800. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiot-Danum iko katika kundi la Kibarito.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiot-Danum kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.