Kisiwa cha Hilali
Kisiwa cha Hilali (kwa Kiingereza: Crescent Island) ni kisiwa cha kaunti ya Nakuru, nchini Kenya.
Kinapatikana katika ziwa Naivasha.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
Viungo vya nje hariri
Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kisiwa cha Hilali kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |