Kitate ni neno linalofanana na lingine lakini lenye maana tofauti. Mara nyingine tofauti ni fonimu moja, ambayo tena haitambulikani na kwa baadhi ya watu kwa jinsi wanavyotamka herufi kadhaa. Ndiyo maana unatokea utata. Kwa mfano katika Kiswahili, si wengi wanaotofautisha vizuri "zamani" (wakati), "samani" (fenicha) na "thamani" (bei).

Kwa sababu hiyo ni muhimu msemaji atamke na mwandishi aandike vizuri neno kadiri ya tahajia yake sahihi kulingana na maana iliyokusudiwa.

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kitate kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.