Kitela-Masbuar ni lugha ya Kiaustronesia nchini Indonesia inayozungumzwa na Watela na Wamasbuar kwenye kisiwa cha Babar. Mwaka wa 2007 idadi ya wasemaji wa Kitela-Masbuar imehesabiwa kuwa watu 1050. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kitela-Masbuar iko katika kundi la Kibabar.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kitela-Masbuar kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.