Katika utarakilishi, kituokazi (kwa Kiingereza: workstation) ni tarakilishi inatumika ili kufanya programu ya matumizi ya kifundi au ya kisayansi

Kituokazi kinachoitwa Sun SPARCstation 10 kwenye CRT monitor, mwaka 1990.

Marejeo hariri

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1)
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.