Kobe (神戸市) ndiyo mji mkuu katika mkoa wa Hyogo. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao milioni 1.5 wanaoishi katika mji huu.

Mji wa Kobe, Hyogo








Jiji la Kobe
Faili:Flag of .png
Bendera
Nchi Japani
Kanda Kansai
Mkoa Hyogo
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 1,536,125
Tovuti:  www.city.kobe.lg.jp

Tazama pia hariri

 
Kobe Port

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu maeneo ya Japani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kobe, Hyogo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.