Lawrence Mark Sanger [1] (amezaliwa 16 Julai 1968) ni msanidi programu wa mtandao na mwanafalsafa wa Marekani aliyeanzisha kamusi elezo ya mtandaoni Wikipedia pamoja na Jimmy Wales. Sanger aliunda jina na aliandika sera nyingi ya awali ya Wikipedia, kama vile "maoni ya upande wowote". Sanger amefanya kazi na mradi mtandaoni pamoja na Nupedia, Encyclopedia ya dunia, Citizendium, Msingi wa Viwango vya Maarifa na Encyclosphere. Pia aliishauri kampuni ya blochchain phunware na mashirika yasiyo ya faida ya mtandaoni ya kisiasa Marekani Ballotpedia.[2]

L Sanger mwakaa 2006.

Marejeo hariri

  1. Western History for Kids, Part 1 - ancient and medieval - Sanger Academy (kwa sw-TZ), iliwekwa mnamo 2022-09-30 
  2. "About Dr. Larry Sanger". Knowledge Standards Foundation (kwa en-US). 2019-09-24. Iliwekwa mnamo 2022-09-30.