Libia Grueso

mwanaharakati kutoka Kolombia

Libia Grueso ni mfanyakazi wa kijamii na mwanaharakati wa haki za kiraia kutoka Buenaventura, Kolombia, anayepigania haki za kiraia za jumuiya za Afro-Colombia .

Yeye pia ni mwanzilishi mwenza wa Mchakato wa Jumuiya za Watu Weusi (PCN). Alifanikiwa kupata zaidi ya 24,000 km² katika haki za eneo kwa jumuiya za watu weusi za mashambani nchini humo, na amekuwa akilenga kulinda msitu ya mvua ya Colombia . Libia Grueso alipokea Tuzo ya Mazingira ya Goldman mwaka wa 2004.

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Libia Grueso kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.