Liz Walker
ukarasa wa maana wa Wikimedia
Liz Walker ni raia wa Marekani na ni mchungaji wa kanisa aliyestaafu katika fani yake ya uandishi wa habari.
Liz Walker | |
Nchi | Marekani |
---|---|
Kazi yake | Mchungaji |
Cheo | Mchungaji |
Alikuwa mwanamke wa kwanza mweusi kushiriki katika kutangaza habari katika kituo cha newscast jijini Boston Massachusetts, Marekani. Ndipo akaenda kwenye uchungaji katika Roxbury Presbyterian Churchmnamo mwaka 2014[1].
Marejeo hariri
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Liz Walker kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |