Lyublyana

(Elekezwa kutoka Ljubljana)

Lyublyana ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Slovenia mwenye wakazi 265,000 (2002).

Kitovu cha Lyublyana bado kinaonyesha majengo ya kihistoria ya zamani ya Austria-Hungaria.

Iko kati ya milima ya Alpi na Bahari ya Mediteranea. Lyublyana ni kitovu cha kijiografia na ya uchumi, utamaduni na siasa ya Slovenia.

Mji ulianzishwa zamani za Dola la Roma kwa jina la Emona lakini kuharibiwa na Wahunni wa Attila mwaka 452. Mji uliundwa upya na walowezi Wajerumani kutoka Bavaria kaw jina la Laibach katika zama za kati mnamo mwaka 1144. Tangu 1335 ilifikia chini ya utawala wa Austria ikabaki pale hadi 1918.

1918 mji pamoja na Slovenia uliingia katika Ufalme wa Waserbia, Wakroatia na Waslovenia uliokuwa baada ya Yugoslavia. Baada ya 1946 Lyublyana ilikuwa mji mkuu wa Jamhuri ya kisoshalisti ya Slovenia ndani ya Shirikisho la Yugoslavia.

Tangi uhuru wa nchi 1992 mju umekuwa mji mkuu wa Slovenia huru.

Tovuti za Nje hariri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Lyublyana kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.