Lucy Thomas Mayenga
mwanasiasa kutoka Tanzania
Lucy Thomas Mayenga (amezaliwa tarehe 23 Agosti 1977) ni mbunge wa viti maalumu katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
- ↑ [Mengi kuhusu Lucy Thomas Mayenga. Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-20. Iliwekwa mnamo 2011-11-04. Mengi kuhusu Lucy Thomas Mayenga]
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |