Lynn Anke Hannie Wilms (alizaliwa 3 Oktoba 2000) ni mchezaji wa mpira wa miguu nchini Uholanzi ambaye anacheza kama beki katika klabu ya VfL Wolfsburg ya wanawake katika ligi ya Frauen-Bundesliga pamoja na timu ya taifa ya wanawake ya nchini Uholanzi.[1][2]

Lynn Anke Hannie Wilms (katikati)

Marejeo hariri

  1. "Men's Olympic Football Tournament Tokyo 2020: Squad list, Germany" (PDF). FIFA. 7 July 2021. uk. 7. Iliwekwa mnamo 7 July 2021.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  2. "International Lynn Wilms verlengt contract bij FC Twente", 1limburg. Retrieved on 2022-05-07. Archived from the original on 2022-05-07. 
  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lynn Wilms kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.