Skauti : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
dNo edit summary
/* KANUNI ZA SKAUTI: 1:Heshima ya skauti ni kuaminiwa. 2:kauti ni mzalendo kamili. 3:Skauti ni mtu wa kufaa nAkusaidia wengine. 4.Skauti ni rafiki kwa wote na ndugu kwa kila skauti.5.Skauti ni mwenye adabu kamili.6.Skauti ni mwenye huruma kwa viumbe.7S...
Mstari 3:
{{fupi}}
 
==Kanuni za Skauti==
=== KANUNI ZA SKAUTI: 1:Heshima ya skauti ni kuaminiwa. 2:kauti ni mzalendo kamili. 3:Skauti ni mtu wa kufaa nAkusaidia wengine. 4.Skauti ni rafiki kwa wote na ndugu kwa kila skauti.5.Skauti ni mwenye adabu kamili.6.Skauti ni mwenye huruma kwa viumbe.7Skauti ni mtiifu kamili.8.Skauti ni mchangamfu daima.9.Skauti ni mwangalifu wa mali zake na za wengine pia.10.Skauti ni safi katika mawazo,maneno,na matendo yake. ===
*1. Heshima ya skauti ni kuaminiwa.
*2. Skauti ni mzalendo kamili.
*3. Skauti ni mtu wa kufaa na kusaidia wengine.
*4. Skauti ni rafiki kwa wote na ndugu kwa kila skauti.
*5. Skauti ni mwenye adabu kamili.
*6. Skauti ni mwenye huruma kwa viumbe.
*7. Skauti ni mtiifu kamili.
*8. Skauti ni mchangamfu daima.
*9. Skauti ni mwangalifu wa mali zake na za wengine pia.
*10. Skauti ni safi katika mawazo,maneno,na matendo yake.
 
[[Jamii:Malezi]]