Fasihi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 42:
*3. Semi.
*4. Maigizo.
 
===sifa za fasihi simulizi===
*Hutolewa wa njia ya mdomo.
*Haitumii gharama
*Huonyesha hualisia whisia za mzungumzaji.
*Ni mali ya jamii.Hakuna mtu anayeimiliki.
 
===dhima za fasihi simulizi===
*kuburudisha
*kuelimisha jamii
*kunasihi
*kukuza lugha
*kuunganisha watu
 
==Kufanana kwa fasihi simulizi na fasihi andishi==