Redio : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:SABA Radiogeraet.jpg|thumb|right|200px|Redio mnamo 1950]]
[[Image:Radio.jpg|thumb|right|200px|Redio mnamo 2000]]
Kwa kawaida rungoya inapokea kwa njia ya [[antena]] yake [[mawimbi sumakuumeme]] yanayosambazwa na antena ya kituo cha rungoya. Kuna pia aina za rungoya ambako mawasiliano hufika kwa umbo la alama za umeme katika waya. Mawasiliano ya sumakuumeme yanasambazwa pia kwa njia ya chomboanga au satelaiti lakini njia hii inahitaji vyombo maalumu na antena ya kawaida haitoshi.
==Historia==
[[Mwaka]] [[1886]] [[Mjerumani]] [[Heinrich Hertz]] alitambua mawimbi ya sumakuumeme. Wataalamu na muhandisi mbalimbali walifanya majaribio katika miaka iliyofuata kutumia mawimbi haya kwa mawasiliano, kati yao Mwitalia [[Guglielmo Marconi]], Mmarekani [[Nikola Tesla]] na Mrusi [[Alexander Popov]]. Kila mmoja ametajwa kama "mtu wa kwanza aliyegundua rungoya".
Kituo cha kwanza cha rungoya kilianzishwa na Mholanzi [[Hanso Schotanus]] à Steringa Idzerda
Katika miaka iliyofuata redio ilisambaa kote [[duniani]]. Ni njia muhimu ya kusambaza habari pamoja na [[utamaduni]], hasa muziki.
== Matumizi ya redio ==
Hapo zamani, redio zilitumika na
Wanajeshi pia walitumia redio kutuma jumbe na kuwasiliana na makao yao makuu.
Pia kuna redio za kushikwa kwa mikono ==Tanbihi==
{{reflist}}
{{tech-stub}}
[[Category:Redio|!]]
|