Mwangaza unaoonekana : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1:
[[Picha:Taurus 3m-6m.gif|300px|thumb|Mwangaza unaonekana kwa mfano wa kundinyota ya [[Tauri (kundinyota)|Tauri]]:<br/> mjini penye nuru nyingi nyota hadi mag 4 zinaonekana,<br/>mashambani penye giza hadi mag 6]]
'''Mwangaza''' ni tabia ya [[nyota]] inayosaidia kuzitofautisha baina yake. Kuna tofauti kati ya '''mwangaza unaoonekana''' (ing. ''[[:en:apparent magnitude|apparent magnitude]]'') na '''mwangaza halisi''' (ing. ''[[:en:absolute magnitude|absolute magnitude]]'').
Umbali kati ya vitu kwenye anga la nje ni kubwa sana. Nyota kubwa kama iko mbali inaweza kuonekana hafifu, nyota ndogo kama iko karibu inaonekana angavu sana.
* '''Mwangaza unaoonekana''' ni kipimo cha ukali wa nuru wa gimba la angani jinsi unavyoonekana kwa mtazamaji kwenye dunia yetu. Unatajwa kwa namba na kizio chake ni magnitudo, kifupi mag.
* '''Mwangaza halisi''' ni kipimo cha ukali wa nuru jinsi ingeonekana kwa
==Kipimo cha magnitudo==
|