Chombo cha angani : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 14:
Marekani iliendelea kuandaa [[safari]] ya kufika [[Mwezi (gimba la angani)|mwezini]] na kuwafikisha wanaanga [[Neil Armstrong]] na [[Buzz Aldrin]] mwezini tarehe [[20 Julai]] [[1969]] kwa kutumia chombo [[Apollo 11]].
Ilhali maandalizi ya safari za kupeleka watu
Vyomboanga vingine kama [[vipimaanga]] vinapewa kazi ya [[upelelezi]] angani hasa kukaribia [[sayari]], kukusanya data zao na kuzituma duniani. Habari nyingi juu ya sayari za [[mfumo wa jua letu]] zimepatikana kutokana na [[upimaji]] uliotekelezwa na vipimaanga hivi.
Mstari 20:
[[Category:Usafiri wa angani| ]]
[[jamii:Chombo cha angani]]
{{wikinyota}}
|