Mnyama : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
sarufi
Mstari 59:
'''Wanyama''' ni [[viumbehai]] wasio [[mmea]], [[kuvu]], [[bakteria]], [[protista]] au [[Archaea|arkea]]. Vile vile tunaweza kusema [[wanyama]] ni viumbehai wanaotegemea [[chakula]] kutoka sehemu nyingine: wao hawana uwezo wa kujitengenezea chakula chao wenyewe kupitia [[usanisinuru]] ([[nishati]] ya [[jua]]) lakini kutoka kwa viumbehai vingine ama wanyama wengine au mimea.
WalaMyama mla mimea huitwa '''[[herbivorimlamani]] au [[Mlamani|mlamea]]''' (kwa Kiingereza herbivorous) na walamyama mla [[nyama]] huitwa '''[[karnivorimgwizi]]''' (kwa Kingereza carnivorous). Kuna pia wanyama wanaoitwa [[omnivoriMlawangi|'''mlawangi''']] (kwa Kingereza omnivorous) yaani wanakula kila kitu ama, mimea au wanyama wengine.
 
Wanyama wanahitaji [[oksijeni]] kwa [[upumuo|kupumua]].