Mshale (kundinyota) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 9:
==Jina==
Jina la "Kaus" limetumiwa pia katika [[astronomia ya kimagharibi]] kutaja nyota kadhaa zilizomo hapa kama vile Kaus Australis, Kaus Medius na Kaus Borealis.
Katika vitabu kadhaa vya shule za msingi nchini Tanzania "Kausi" imetumiwa kwa kosa kutaja [[sayari]] ya nane katika [[mfumo wa jua]] letu yaani [[Neptun]].
Katika unajimu wa kisasa jina la Kausi limeshasahauliwa na nyota hizi zinajulikana zaidi kwa “Mshale” ambayo inarejelea picha inayotumiwa kama ishara yake.
==Kuonekana==
|