Mchwa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
→‎Usumbufu wa mchwa: kuchangua mada - usubufu wa mchwa
No edit summary
Mstari 26:
* Termopsidae
}}
'''Mchwa''' ni [[wadudu]] wadogo wa [[oda ya chini]] [[Isoptera]] katika [[oda]] [[Blattodea]] wanaoishi kwa makoloni makubwa katika [[kichuguu|vichuguu]]. Kuna aina ya mchwa ambayoambao huishi ndani ya mbao au miti. Takriban [[spishi]] zote hula [[ubao]].
 
Kila [[koloni]] lina [[malkia (mdudu)|malkia]], [[mfalme (mdudu)|mfalme]], [[askari (mdudu)|askari]] na [[wafanyakazi (mdudu)|wafanyakazi]]. Askari na wafanyakazi hawana [[mabawa]] lakini malkia na mfalme waliwahi kuwa na mabawa walipokuwa [[vijana]]. Mfalme anamtia malkia [[mimba]] na huyu anazaa [[yai|mayai]] mengi sana. Askari wanalinda kichuguu na wafanyakazi wanafanya kazi nyingine zote.
Mstari 37:
Mchwa wametumika katika hadithi nyingi za kitoto ili kufunza maadili ya bidii na umoja. Kwa kawaida, mchwa hukaa wote pamoja katika koloni.
 
Katika maandiko ya [[Biblia]] ya Kikristo katika kitabu cha Methali, wakristoWakristo wameombwa waige mchwa katika utendakazi na umoja. Mdudu huyu huishi kwa kushirikiana na kutangamana. Yeye halali kabla atafute chakula cha kutosha na cha kuweka akiba. Katika kitabu kitakatifu cha Waislamu cha [[Kurani]], Sulayman alisikia mchwa akiwaonya wengine warudi nyumbani wasije wakapondwapondwa.
 
Mwandishi [[Aesop]] pia aliandika kuhusu bidii ya mchwa katika hadithi yake 'The Ant and the Grasshopper'.
 
== Usumbufu wa mchwa ==
Hata hivyo, watu wengi huona mchwa kama wasumbufu haswa anapoishi karibu na majengo ya watu. Mchwa hula [[mbao]] na kwa hiyo huharibu [[mlango|milango]], [[samani]] na [[boriti|maboriti]] ya [[nyumba]].<ref>[http://www.buildinginspectionsadelaide.com.au/timber-pest-inspections-necessary-buying-house/ Timber pests]</ref> Kwa wale wanaoishi ndani ya mbao na kula vifaa vya mbao nyumbani huleta pia tatizo la uchafu kutokana na kinyesi chao.<ref>[https://pestsguide.com/termites/termite-droppings-in-your-house/ Kuhusu kinyesi cha mchwa]</ref> Kwa hiyo, watu wengi hutafuta madawa ya kuua wadudu hawa au njia zingine asili za kuwadhibiti kama vile utumizi wa udongo ''Diatomaceous'' au mafuta ya [[kitunguu saumu]] zainazoadhirizinazoadhiri wadudu<ref>{{Cite web|url=https://pestsguide.com/termites/get-rid-of-termites-forever|title=How to Get Rid of Termites: A Comprehensive Guide (2019)|author=Ambru|date=2018-11-24|language=en-US|work=PestsGuide|accessdate=2019-06-17}}</ref>. Wanaofanya taaluma hiyo kwanza huangalia mchwa ni wa aina gani ili aweze kujua amejificha wapi maana wao hujifinya pahala kwingi.