Teknolojia ya Akamai : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|Teknolojia ya akamai Akamai Technologies ni kampuni ya Kimarekani inayojihusisha na utoaji huduma ya mtandao hivi kwamba unapote...' |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Akamai logo.svg|thumb|Teknolojia ya akamai]]
'''Akamai Technologies''' ni [[kampuni]] ya
Akamai Technologies ni miongoni mwa kampuni kubwa zaidi ulimwenguni kwa kupeana huduma ya mtandao kwa kutumia program ya [https://devsjournal.com/akamai-netsession-client-interface.html Akamai netsession client interface] iliyoko kwa tarakilishi ya mteja. Hii kampuni imehusishwa na asilimia kati ya 15 hadi 30 ya data ipatikanayo kwa mtandao.
Mstari 12:
Mwaka wa 1998 ukielekea kumalizika, wataalamu wapya waliongezewa kujiunga na timu hii. Wanaojulikana sana ni Paul Segan aliyekua Rais wa Kampuni ya New Media, George Conrades aliyekua mwenyekiti wa kampuni ya BBN. Mnamo mwaka 1999, Conrades aliteuliwa kuwa mkurugenzi mtendaji ambapo aliiongoza hii kampuni mpaka ikanoga kibiashara. Mnamo mwaka 2005 alimteua mwenzake Sogan kuwa mkurugenzi mtendaji. Mnamo Aprili 1999, Akamai Technologies iliidhinisha huduma ya kibiashara na ikatajwa kwa mara ya kwanza katika soko la hisa la NASDAQ.
Mnamo
{{mbegu-uchumi}}
[[Jamii:Teknolojia]]▼
[[Jamii:Makampuni ya Marekani]]
|