Nathaniel Mtui : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Nathaniel Mtui''' alikua ni mwanahistoria wa kitanzania mwenye asili ya kichaga. Alizaliwa mnamo mwaka 1892 katika mtaa wa Mshiri huko Marangu, mkoani [...'
 
No edit summary
Mstari 1:
'''Nathaniel Mtui''' alikuwa [[mwanahistoria]] wa Tanzania mwenye [[asili]] ya [[Wachagga|Kichagga]].
'''Nathaniel Mtui''' alikua ni mwanahistoria wa kitanzania mwenye asili ya kichaga. Alizaliwa mnamo mwaka 1892 katika mtaa wa Mshiri huko [[Marangu]], mkoani [[Kilimanjaro]] nchini [[Tanzania]]. Alikua ni mwalimu kipindi cha utawala wa kitumwa wa wajerumani huko [[Marangu]]. Amejulikana kama mtu wa kwanza kuandika kuhusu historia ya wachaga kwa lugha ya Kiswahili, kijerumani na kichaga..<ref>Stahl, Kathleen Mary (1964). History of the Chagga people of Kilimanjaro. Mouton.</ref>
 
Alizaliwa mnamo [[mwaka]] [[1892]] katika mtaa wa Mshiri huko [[Marangu]], [[Mkoa wa Kilimanjaro|mkoani]] [[Kilimanjaro]] nchini [[Tanzania]]. Alikuwa [[mwalimu]] kipindi cha [[utawala]] wa kikolini wa [[Wajerumani]] huko [[Marangu]].
 
Amejulikana kama mtu wa kwanza kuandika kuhusu [[historia]] ya Wachaga kwa [[lugha]] ya [[Kiswahili]], [[Kijerumani]] na [[Kichagga|Kichaga]].<ref>Stahl, Kathleen Mary (1964). History of the Chagga people of Kilimanjaro. Mouton.</ref>
 
==Marejeo==
<references />
{{mbegu-mtu}}
 
[[Jamii:Waliozaliwa Watu wa Tanzania1892]]
[[Jamii: WaandishiWanahistoria wa Tanzania]]
[[Jamii:Waandishi wa Tanzania]]