Ngonjera : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
nimeongezea kuhusu mbunifu wa Ngonjera |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Ngonjera''' ni aina ya [[mashairi]] ya majibizano baina ya pande / watu wawili
Aghalabu mazungumzo hayo huwa na mijadala ya malumbano yenye kusudio la kutoa [[ujumbe]] maalumu kwa [[hadhira]] au [[jamii]] husika. Msemaji mmoja huuliza swali katika [[ubeti]] mmoja na mwingine hutoa jibu katika ubeti unaofuata na majibizano ya [[hoja]] kuendelea hivyo hadi kukamilisha mada ya mjadala husika. Kutokana na sifa hiyo, ndiyo maana [[kipera]] cha ngonjera kinapatikana katika [[utanzu]] wa ushairi na katika utanzu wa maagizo.
Aina hii ya mashairi ilibuniwa na mshairi maarufu Tanzania Mathias Mnyampala▼
▲Aina hii ya mashairi ilibuniwa na mshairi maarufu Tanzania [[Mathias Mnyampala]].
{{mbegu-lugha}}
|