Shairi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 24:
===(i) Mashairi ya kimapokeo===
Haya ni mashairi yanayozingatia kanuni za muwala/urari (ulinganifu) wa mizani, vina, idadi ya mistari katika kila [[ubeti]] na kituo katika shairi. Vilevile huitwa ''mashairi funge''.
 
Aina ya mashairi kulingana na mtindo huu wa mapokeo,hupatikana kwa kuangalia idadi ya mishororo katika kila ubeti.
 
===(ii) Mashairi huru===