Celâl Bayar : Tofauti kati ya masahihisho
Mwanasiasa wa Uturuki
(Hakuna tofauti)
|
Mahmut Celâl Bayar (16 Mei 1883 - 22 Agosti 1986) alikuwa mwanasiasa wa Uturuki, ambaye alikuwa Rais wa tatu wa Uturuki kutoka 1950 hadi 1960; hapo awali alikuwa Waziri Mkuu wa Uturuki kutoka 1937 hadi 1939.