Yoweri Kaguta Museveni : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Kura zitapigwa januari 2021.je nani atashinda
Tag: Reverted
d Masahihisho aliyefanya 105.160.70.238 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Riccardo Riccioni
Tag: Rollback
Mstari 4:
Kwa muda mrefu, kabla ya kuwa [[rais]] wa Uganda, Museveni aliongoza vita vya msituni dhidi ya serikali za [[Idd Amin]] aliyetawala toka mwaka 1971-79, na serikali ya [[Milton Obote]] aliyekuwa madarakani mwaka 1980-85.
 
Kutokana na mafanikio ya mapambano dhidi ya ugonjwa wa [[Ukimwi]] na kukubali kwake kufuata sera za [[Benki ya Dunia]] na [[Shirika la Fedha Duniani]], Museveni alipata sifa kubwa toka kwa viongozi wa mataifa ya Magharibi. Mwaka[[2020]]Mwishoni mwa waongozimiaka waya ki1990, Museveni dhinialikuwa walisemaakielezewa tarehekuwa yani kupigamfano kurabora iwa hairishwekizazi ndiokipya Yowericha kagutaviongozi museveniwa aongoze kura ni januari -21[[Afrika]].
 
Hata hivyo uongozi wake umetiwa dosari na mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na ushiriki wake katika vita vya wenyewe kwa wenyewe katika [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] na [[Rwanda]]. Mambo mengine ni pamoja na ukiukwaji wa haki za kisiasa unaofanywa na serikali yake dhidi ya wapinzani kama vile [[Kizza Besigye]] na kitendo cha kubadili [[katiba]] ya nchi hiyo ili aweze kugombea urais mwaka 2006.
 
Alichagua [[Pico Taro]] (mwanamuziki wa Kijapani) kama balozi wa utalii wa Uganda mnamo Oktoba 6, 2017.
 
== Viungo vya nje ==
* [http://www.statehouse.go.ug/ Tovuti ya Ikulu ya Uganda]
 
{{Mbegu-mwanasiasa}}
 
{{BD|1944|}}
[[Jamii:Marais wa Uganda]]
[[Jamii:Watu wa Uganda]]