Waarabu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 18:
Mwaka 1945 nchi hizo ziliunda [[Jumuiya ya Nchi za Kiarabu]].<ref name="History">"[http://www.history.com/this-day-in-history/arab-league-formed Arab League formed | This Day in History — 3/22/1945]." ''[[History.com|HISTORY]]''. US: [[A&E Television Networks]]. 2010. Retrieved on 28 April 2014.</ref>
 
[[Picha:Arab League member states (orthographic projection).svg|300px|thumb|Wanachama wa Juuiya ya Nchi za Kiarabu]]
== Nchi za Waarabu ==
Leo hii Waarabu kimsingi hukalia nchi 22 wanachama wa [[Jumuiya ya Nchi za Kiarabu]]. Nchi hizo zinaenea kwa kilomita za mraba milioni 13 kutoka [[Atlantiki|bahari ya Atlantiki]] upande wa magharibi hadi [[Bahari ya Kiarabu]] katika mashariki na kutoka [[Bahari ya Mediteranea|Bahari ya Mediterranean]] katika kaskazini hadi [[Pembe ya Afrika]] na [[Bahari ya Hindi]] katika kusini. Watu wasio Waarabu wakitumia lugha zao za pekee huishi pia katika nchi hizo, wakati mwingine wakiwa wengi. Hawa ni pamoja na [[Wasomali]], [[Wakurdi]], [[Waberberi]], Waafar, [[Nubia|Wanubi]] na wengineo .
 
== Uenezaji wa lugha ==