Nicholas Butler : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 15:14, 21 Mei 2008
Nicholas Murray Butler (2 Aprili, 1862 – 7 Desemba, 1947) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Marekani. Alikuwa mwenyekiti wa Chuo Kikuu cha Columbia, na alijitahidi hasa upande wa elimu ya kimataifa. Mwaka wa 1931, pamoja na Jane Addams alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |