Wanaisraeli : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
New page: ''Kwa maana mbalimbali ya jina Israeli tazama Israeli (maana)'' '''Wanaisraeli''' ni namna ya kutaja watu wa Agano la Kale waliokuwa wazawa wa Yakobu aliyeitwa pia Israeli mm... |
No edit summary |
||
Mstari 4:
'''Wanaisraeli''' ni namna ya kutaja watu wa [[Agano la Kale]] waliokuwa wazawa wa [[Yakobu]] aliyeitwa pia Israeli mmoja wa mababu wa taifa la [[Israeli ya Kale]].
Yakobu alipewa jina la "Israeli" baada ya kushindana na Mungu kwenye [[mto Yaboki]]. Alizaa wana 12 waliokuwa mababu wa makabila 12 ya [[Israeli ya Kale]].
Katika maandiko ya [[Agano la Kale]] ([[Tanakh]]) makabila hawa mara nyingi huitwa "Wanaisraeli", "wana wa Israeli" au pia "watu wa Israeli".
|