Roma ya Kale : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Reverted edits by 142.227.239.236 (Talk) to last version by VolkovBot |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Roman Republic Empire map.gif|thumb|300px|Mabadiliko ya eneo la Dola la Roma kuanzia mw. 510 [[KK]] hadi 480 [[BK]]; namba zinaruka kutoka 20 KK kwa 70 BK; *'''nyekundu''' = Jamhuri 510-40 KK; *'''
'''Roma ya Kale''' ni [[ustaarabu]] uliokua kutoka katika mji
Katika kipindi cha karne kumi na mbili cha uhai wake, ustaarabu wa Roma ulibadilika toka kuwa [[dola-mji]], kwanza [[ufalme]] halafu [[jamhuri ya Roma]] yenye athira katika Italia, na hadi kuwa milki kubwa. Roma ya Kale ilikuja kutawala [[Ulaya Magharibi]] na eneo zima linalozunguka [[bahari ya Mediteranea]] kwa njia ya [[vita]] au kwa njia ya maungano na maeneo.
Baada ya karne za upanuzi uhamisho wa mataifa mapya ya [[Wagermanik]] pamoja na mashambulio kutoka [[Asia]] zilisababisha hatimaye kuanguka kwa [[Dola la Roma]] katika karne ya 5 BK. ▼
▲Baada ya karne za upanuzi
Sehemu ya magharibi ya milki dola liliporomoka kabisa likiendelea na umoja wa kiutamaduni lililotunzwa hasa na kanisa katoliki chini ya uongozi wa Papa wa Roma. ▼
▲Sehemu ya magharibi ya milki dola liliporomoka kabisa likiendelea na umoja wa kiutamaduni lililotunzwa hasa na
Sehemu ya mashariki ya Dola iliyoongozwa kutoka [[Konstatinopoli]] iliendelea. Tabia yake ilibadilika polepole kuwa milki ya Wagiriki ikaitwa baadaye [[Milki ya Byzanti]] ikiendelea hadi 1453 [[Waturuki]] walitwaa mji wa Konstantinopoli na kuimaliza.▼
▲Sehemu ya mashariki ya Dola iliyoongozwa kutoka [[
[[Category:Roma ya Kale|*]]
|