Miaka baada ya hijra : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 3:
Hesabu hii ni ilianzishwa miaka 17 baada ya tukio lenyewe (638 [[BK]]) kufuatana na azimio la [[Khalifa]] [[Umar]].
[[Waarabu]] waliwahi kuwa na kalenda iliyotumia mwendo wa [[mwezi]]. Lakini hawakuhesabu miaka. Kila mwaka ulitajwa kutokana na tukio fulani. Mwaka wa kuzaliwa kwake [[Mtume Muhammad]] hujulikana "Mwaka wa Tembo" kwa sababu mwaka ule [[Makka]] ilishambuliwa na jeshi la [[Ethiopia|Waethiopia]] lililokuwa na tembo wa kijeshi. Hata baada ya Muhammad desturi hii iliendelea. Mwaka wa [[Hijra]] wenyewe uliitwa "Mwaka wa kukubaliwa kwa safari," mwaka uliofuata "Mwaka vita
Wakati wa Khalifa Umar ilionekana haja ya kuwa na hesabu inayoeleweka zaidi
==Hesabu ya Kiarabu na Hesabu ya Kiajemi==
Waarabu Waislamu waliendelea kuhesabu [[Kalenda ya mwezi|miaka ya mwezi]] ya siku 29 au 30 kufuatana na kuonekana halisi kwa mwezi.
[[Uajemi]] hutumia hesabu ya miaka ya Hijra pamoja na [[mwaka wa jua]]. Hivyo mwanzo wa 2006 BK huko Uajemi ni mwaka 1384 BH (baada ya Hijra).
==Tazama pia==
[[Kalenda ya Kiislamu]]
|