Eleveta : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
jamii |
sahihisho dogo tu! |
||
Mstari 1:
[[picha:240 Sparks Elevators.jpg|thumb|200px|Eleveta nje ya jeno la maghorofa mjini [[Ottawa]], [[Kanada]]]]
'''Eleveta''' (kutoka [[Kiing.]] ''elevator''), pia: '''lifti''',''' kipandishi''', '''kambarau''' ni chombo cha kupandisha
Mara nyingi eleveta hutumiwa katika majengo ya ghorofa. Zinatokea pia nje ya majengo kwa mfano katika migodi ambako zinaweza kufika
Kwa kawaida eleveta ni chumba chenye mlango kinachovutwa kwa kamba au kupandishwa kwa namna ya jeki kati ya ghorofa inapofika. Watu huingia ndani wanapoweza kuchagua ni ghorofa ipi
Siku hizi eleveta huendeshwa kwa msaada wa injini ya umeme unaovuta kamba au kuendesha pampu ya jeki. Katika historia kuna mifano ya eleveta zilizoendeshwa kwa nguvu ya kibinadamu au kinyama. Mfano wa kwanza unaojulikana ni eleveta iliyotengenezwa na mtaalamu wa Ugiriki wa Kale o reported [[Archimedes]] (mnamo 287 KK – 212 KK) mjini Sirakusa.
Eleveta
[[Category:Usafiri]]
|