Julius Wagner-Jauregg : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 04:56, 27 Septemba 2007
Julius Wagner-Jauregg (7 Machi, 1857 – 27 Septemba, 1940) alikuwa daktari kutoka nchi ya Austria. Hasa alichunguza na kutibu magonjwa ya kiakili kwa kutumia tiba ya kushtua ya kuingiza homa mwilini. Mwaka wa 1927 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |