Mkoa wa Dar es Salaam : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1:
== Dar es Salaam ==
'''Dar es Salaam''' ni kati ya mikoa 26 ya [[Tanzania]]. Eneo la mkoa ni [[Jiji]] la [[Dar es Salaam]]. Imepakana na [[Mkoa wa Pwani]] pande zote barani na [[Bahari ya Hindi]] upande wa mashariki. Jiji la Dar es Salaam ndio kitovu cha shughuli za biashara na utawala nchini Tanzania. Hapo zamani jiji hili lilijulikana kwa jina la [[Mzizima]].
 
Kuna wilaya tatu za Kinondoni (wakazi 1,088,867), Ilala (wakazi 637,573) na Temeke (wakazi 771,500) ambazo kila moja inaangaliwa kama mji. NambaTakwimu hizi ni za mwaka 2002, kwa ujumla idadi ya wakazi hukadiriwa kuwa imefika mnamo milioni 3.
 
Eneo la mkoa ni 1,800 km² pamoja na visiwa vidogo 8 na eneo la bahari kati ya pwani na visiwa hivi. Eneo la nchi kavu pekee ni 1,393 km².