Majadiliano ya Wikipedia:Wakabidhi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
XR98 (majadiliano | michango) No edit summary |
|||
Mstari 92:
Salaam ndugu zangu? Naomba kuwa mkabidhi wa Wikipedia Swahili. Mimi huja hapa aghalabu (kila siku) na najua naweza fanya gange murwa sana. Asanteni na salamu tolatola kutoka Nairobi,Kenya '''[[Mtumiaji:Trunzep|Trunzep]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Trunzep|majadiliano]])''' 10:45, 12 Novemba 2016 (UTC)
:::Ndugu Trunzep, kwa sasa naona uonyeshe uwezo wako kuchangia katika kuhariri. Kwa kawaida tumepokea wahariri waliochangia vema na kwa muda na hivyo walionekana wameelewa kazi. Nafurahia kuona michango yako. Baadaye mengine. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:14, 12 Novemba 2016 (UTC)
|