Bunge la Kenya
Bunge la Kenya ni bunge lenye vyumba viwili[1] ambavyo ni:
- Seneti (chumba cha juu)
- Bunge la Taifa (chumba cha chini)
Kabla ya katiba mpya, bunge lilikuwa la chumba kimoja.
Bunge hili lilianzia muhula wake wa kumi na mbili tarehe 8 Agosti 2017.
Angalia pia hariri
Marejeo hariri
- ↑ "Establishment and role of Parliament". parliament.go.ke. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2013-04-01. Iliwekwa mnamo 30 March 2013. Check date values in:
|accessdate=
(help)
Viungo vya nje hariri
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |