Maftaha Abdallah Nachuma

Maftaha Abdallah Nachuma ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CUF. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mtwara Mjini kwa miaka 20152020. [1] Maftaha Nachuma amesoma shahada ya kwanza kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Shahada ya pili ya uzamili kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tanzania mwaka 2015.

Marejeo hariri

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017