Mahakama Kuu, Zanzibar

Mahakama Kuu, Zanzibar ipo katika barabara ya Kaunda karibu na bustani ya Victoria, Mji Mkongwe, Zanzibar.[1]

Mahakama kuu ya Zanzibar.

Iliundwa mnamo 1964 baada ya Mapinduzi ya Zanzibar.[2]

Marejeo hariri

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-05-12. Iliwekwa mnamo 2021-05-12. 
  2. https://www.devex.com/organizations/judiciary-of-zanzibar-134280