Majadiliano:Udhibiti wa uzazi

Latest comment: miaka 10 iliyopita by Kipala

Naona mwandishi wa makala hii hajatambua ilikuwepo ile ya Uzazi wa mpango. Pia mtazamo ni wa upande mmoja, wa kushabikia mbinu za kiteknolojia, ingawa zina madhara mengi kwa watumiaji na mara nyingi kwa mimba zinazouawa. --Riccardo Riccioni (majadiliano) 13:20, 29 Novemba 2013 (UTC)Reply

Riccardo unasema kweli tazama majadiliano hapa: https://sw.wikipedia.org/wiki/Majadiliano_ya_mtumiaji:Jmh649 Kipala (majadiliano) 20:05, 29 Novemba 2013 (UTC)Reply

Return to "Udhibiti wa uzazi" page.