Mamadou Samassa (alizaliwa 16 Februari 1990) ni mchezaji wa soka wa Mali aliyezaliwa Ufaransa ambaye anacheza katika kiwango cha juu kama kipa wa klabu ya Ufaransa iitwayo Troyes katika Ligue 1.

Mamadou Samassa

Yeye ni kijana wa Ufaransa wa kimataifa na aliwakilisha Ufaransa chini ya miaka 18, pamoja na chini ya 19, na chini ya miaka 20.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mamadou Samassa kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.